Tuesday, August 15, 2017

Video : Jinsi ya Kumenya Mayai ya Kuchemsha kwa Haraka


Kuna wakati unataka kula mayai ya kuchemsha Asubuhi kabla ujaenda kazini, lakini ukifikiria ule ugumu unaokuja hasa kwenye kumenya maganda ya mayai hayo basi unajikuta unaona uvivu na kukosa virutubisho kibao vinavyo patikana kwenye mayai ya kuchemsha.

Basi kama umekuaunakosa kula mayai sababu ya kupata uvivu wa kumenya basi hii ni kwaajili yako. Chakufanya baada ya kumaliza kuchamsha mayai yako chukua kikombe cha plastiki kisha weka yai lako ndani yake kisha weka maji ya kawaida kisha funika alafu tingisha kwa muda kisha toa yai lako utaona lina menyeka kirahisi kabisa.